iqna

IQNA

raed salah
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umemuachilia huru iongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina Sheikh Raed Salah.
Habari ID: 3474669    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/13

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kumtia tena mbaroni kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina ina lengo la kuwafutilia mbali walinzi wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473077    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17

TEHRAN (IQNA) – Mwanaharakati maarufu wa kupigania ukombozi wa Palestina ametahadharisha kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3473052    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/10